TAHADHARI KWA WATUMIAJI SIMU ZA MKONONI:
Simu zinatumia Mionzi ya
MICROWAVE ambayo
huwezesha
kuunganisha simu yako
kwenda
kwenye Mnara na mnara
... huunganisha Simu
yako na Mitambo
ya Mtandao wako
ambapo pia
Hurudishwa kwenye
mnara hadi kwa
mtu Unaye mpigia.
Microwave ndio
njia kuu ya
muunganisho huo. Lakini
kunamdhara mengi mtu
huyapata
kutokana na kuwa
karibu na Mionzi
hiyo ambayo hadi sasa
bado
haijafahamika ni kwa
kiasi Gani.
Uchunguzi umeonyesha
kuwa kuna
madhara mengi ya kiafya
tunayapata
kutokana na Matumizi
ya simu.
mfano wa magonjwa
hayo ni
1. KUUMWA KICHWA MARA
KWA
MARA
2. PRESSURE YA
KUPANDA NA
KUSHUKA
3. UVIMBE KWENYE
UBONGO
4. KANSA
5. ALZHEIMER
6. NA MENGINE MENGI
Hatuwezi kujizuia
kutumia simu na
Hatuwezi kuzuia hiyo
mionzi ya
MICROWAVE sababu ni
sehemu ya
shughuri zetu za kila
siku ila
tunaweza KUPUNGUZA.
hapa
nawaletea Njia chache
za kupunguza
Mionzi ya MICROWAVE
isituletee
matatizo makubwa
zaidi.
1. Punguza matumizi
yasio lazima
ya simu.Mfano Ongea
mda mfupi
kwa kutumia simu sio
muda
mrefu uweunaongea,
Uchunguzi
umeonyesha kuwa
ukiongea kwa
DAKIKA mbili haileti
madhara,
(Alter natural
electricity of the
Brain)
2. Watoto
wasiruhusiwe kutumia
Simu bali pale tu
inapobidi.
3. Tumia Earphone za
wireless mfano za bluetooth. ni nzuri zaid kuliko za
wire,Earphones za
wire zinaongeza wingi wa mionzi
sababu pia zinatumika
kama
antena ya simu,
4. Usiweke simu
kwenye Mfuko wa
suruari au shati au
kiunoni,sehemu za
mwili
zinapitisha mionzi
vizuri zaidi
sababu pia ni njia ya
neva za
ubongo na chini ya
mwili.
5.Usitumie simu
kwenye chumba
kidogo au lift au
gari. Sababu
Simu itatumia nguvu
nyingi
kuvuta mionzi ili
kuwezesha
mawasiliano.
6. Ukipiga simu
subiri hadi mtu
apokee ndipo uweke
sikioni
kusikiliza na sio
wakati ina
connect.
7. Usipige simu kama network ipo
chini au signal
inaonyesha bar
moja au ndogo, simu
itavuta
mionzi zaidi ili
kufanya
mawasiliano
8. Ukinunua simu
hakikisha
unasoma kama ina LOW SAR
(Specific Absorbtion
Rate) Ni
kipimo cha kupokea
mionzi ya
simu.Za nokia zinazo
ila za
Kichina HAZINA.
9. Tumia vifaa vya
kupunguza
Mionzi vinapatikana
madukani
(vinawakawaka taa
hivi)
10.Weka simu atleast
3.4 inches kutoka kwenye sikio
11. Jitahidi kutumia
Earphones muda
wote unapotumia simu
12. Tumia speaker
phone."Loudspeaker "
13. Text zaidi kuliko
kupiga simu .
14. Jitahidi usitumie
muda mwingi
kwenye simu kama umeiweka kwenye
sikio
15. Jitahid kuiweka
mbali na reproduction
organs zako hasa kwa
wanaume
ambao hatujapata
watoto.
16. La mwisho kula
vizuri ilikuongeza
Via