Wednesday, October 10, 2012

Miyeyusho na Ramadhani kuzichapa Desemba 9 jijini Dar

Miyeyusho na Ramadhani kuzichapa Desemba 9 jijini Dar


Mkurugenzi wa Kampuni ya Darworld Links, Mohammed Bawazir akiwatambulisha kwa waandishi wa habari mabondia Francis Miyeyusho (kushoto) na Nassib Ramadhani watakaopambana Desemba 9 kwenye Ukumbi wa PTA, Temeke jijini Dar es Salaam kugombea mkanda wa Ubingwa wa Mabara wa WB Forum, pambano hilo la uzito wa kilo 53.


 Bondia Francis Miyeyusho akisaini mkataba wa kupambana na Nassib Ramadhani (wa pili kulia). Anayeshuhudia kulia ni Mwanasheria Nyasebwa Berious wa Kampuni ya Member Law Attorneys (MLA). Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Darworld Links inayoandaa pambano hilo, Mohammed Bawazir.



No comments:

Post a Comment