Wednesday, October 31, 2012

MWANAMKE AMSHTAKI CEE LO GREEN KUZISHIKA SEHEM ZAKE NYETI BILA RUHUSA

MWANAMKE AMSHTAKI CEE LO GREEN KUZISHIKA SEHEM ZAKE NYETI BILA RUHUSA

kwenye mtandao kuna taarifa ya kusikitisha kuwa singer-songwriter, rapper, actor and record producer, maarufu kama cee lo green anachunguzwa na polisi nchini marekani kwa kile kilichoelezwa na mwanamke mmoja akidai kuwa cee lo green alimshika sehem nyeti bila ruhusa yake na tukio hilo eti lilitokea kwenye restaurant moja jijini los angeles, na polisi walifika mpaka kwenye mgahawa huo na kufanya mahojiano na wafanyakazi wake pamoja na manager lakini wote walijibu kuwa hawaja shuhudia kitendo hiko kikitokea
akiongea na mtandao wa tmz cee lo green ametiririka kuwa hajafika katika mgahawa huo kwa miezi mitatu sasa, na akasisitiza kuwa hakuna kitu kama hicho.
cee lo green sasa hivi ni judge wa shindano la kusaka vipaji la the voice nchini marekani
polisi wanaendelea na uchunguzi na bado kesi haijafika mahakamani

No comments:

Post a Comment