Wednesday, October 31, 2012

TAHADHARI KWA WATUMIAJI SIMU ZA MKONONI:

TAHADHARI KWA WATUMIAJI SIMU ZA MKONONI:

Simu zinatumia Mionzi ya
 MICROWAVE ambayo huwezesha
 kuunganisha simu yako kwenda
 kwenye Mnara na mnara
 ... huunganisha Simu yako na Mitambo
 ya Mtandao wako ambapo pia
 Hurudishwa kwenye mnara hadi kwa
 mtu Unaye mpigia. Microwave ndio
 njia kuu ya muunganisho huo. Lakini
 kunamdhara mengi mtu huyapata
 kutokana na kuwa karibu na Mionzi
 hiyo ambayo hadi sasa bado
 haijafahamika ni kwa kiasi Gani.
 Uchunguzi umeonyesha kuwa kuna
 madhara mengi ya kiafya tunayapata
 kutokana na Matumizi ya simu.
 mfano wa magonjwa hayo ni
 1. KUUMWA KICHWA MARA KWA
 MARA
 2. PRESSURE YA KUPANDA NA
 KUSHUKA
 3. UVIMBE KWENYE UBONGO
 4. KANSA
 5. ALZHEIMER
 6. NA MENGINE MENGI
 Hatuwezi kujizuia kutumia simu na
 Hatuwezi kuzuia hiyo mionzi ya
 MICROWAVE sababu ni sehemu ya
 shughuri zetu za kila siku ila
 tunaweza KUPUNGUZA. hapa
 nawaletea Njia chache za kupunguza
 Mionzi ya MICROWAVE isituletee
 matatizo makubwa zaidi.
 1. Punguza matumizi yasio lazima
 ya simu.Mfano Ongea mda mfupi
 kwa kutumia simu sio muda
 mrefu uweunaongea, Uchunguzi
 umeonyesha kuwa ukiongea kwa
 DAKIKA mbili haileti madhara,
 (Alter natural electricity of the
 Brain)
 2. Watoto wasiruhusiwe kutumia
 Simu bali pale tu inapobidi.
 3. Tumia Earphone za wireless mfano za bluetooth. ni nzuri zaid kuliko za
 wire,Earphones za wire zinaongeza wingi wa mionzi
 sababu pia zinatumika kama
 antena ya simu,
 4. Usiweke simu kwenye Mfuko wa
 suruari au shati au
 kiunoni,sehemu za mwili
 zinapitisha mionzi vizuri zaidi
 sababu pia ni njia ya neva za
 ubongo na chini ya mwili.
 5.Usitumie simu kwenye chumba
 kidogo au lift au gari. Sababu
 Simu itatumia nguvu nyingi
 kuvuta mionzi ili kuwezesha
 mawasiliano.
 6. Ukipiga simu subiri hadi mtu
 apokee ndipo uweke sikioni
 kusikiliza na sio wakati ina
 connect.
 7. Usipige simu kama network ipo
 chini au signal inaonyesha bar
 moja au ndogo, simu itavuta
 mionzi zaidi ili kufanya
 mawasiliano
 8. Ukinunua simu hakikisha
 unasoma kama ina LOW SAR
 (Specific Absorbtion Rate) Ni
 kipimo cha kupokea mionzi ya
 simu.Za nokia zinazo ila za
 Kichina HAZINA.
 9. Tumia vifaa vya kupunguza
 Mionzi vinapatikana madukani
 (vinawakawaka taa hivi)
 10.Weka simu atleast 3.4 inches kutoka kwenye sikio
 11. Jitahidi kutumia Earphones muda
 wote unapotumia simu
 12. Tumia speaker phone."Loudspeaker "
 13. Text zaidi kuliko kupiga simu .
 14. Jitahidi usitumie muda mwingi
 kwenye simu kama umeiweka kwenye
 sikio
 15. Jitahid kuiweka mbali na reproduction
 organs zako hasa kwa wanaume
 ambao hatujapata watoto.
 16. La mwisho kula vizuri ilikuongeza
 Via

No comments:

Post a Comment