Thursday, October 11, 2012

kichekesho cha leo


Wizi mtupuuuuuuuuuu!

 Girl: Hellow

 Boy: Sweety mambo vip?

 Girl: poa

 Boy: Utakua free weekend hii? Nilikua nataka uje home.

 Girl: Ooh Sorry, sitoweza kuja coz kuna harusi ya Aunt yangu na kesho yake kutakua na wageni nyumbani.

 Boy: kama ni hivo sawa just nilikua nataka nikufanyie surprise, nimekununulia Blackberry Torch

 Girl: ooh!! Usijali mpenz wangu ntakuja, hata ukitaka nilale uko uko nitalala

 Boy: vipi kuhusu harusi??

 Girl: harusi ipi?? Nilikua nakutani honey.

 Boy: ok, na mimi pia nilikua nakutania tu.....

No comments:

Post a Comment