Friday, October 26, 2012

STUDIO ANAYOREKODIA NEY WA MITEGO YAPINGWA ZENGWE

 
tiiiiiiili tili ntiliti, siiiiri imefichuka...inasemekana baada ya kutoa ngoma kadhaa ya kuwaponda watu kwa kuwaambia ukweli ulio na maneno makali kiaina, studio anayorekodia Ney wa mitego inayoitwa Shyne Rcords imeandikiwa barua na Basata ya onyo na kupewa siku tano kuonana na basata huku ikituhumiwa kutengeneza ngoma zenye kutukana watu

Mnager wa studio hiyo amesema kuwa michongo hiyo yote itakua imefanywa na maadui wakubwa wa Ney kwenye ngoma zake ambao ni wasanii wa Bongo Movie wametia ndio wamesababisha yote hayo na kuwatuhumu kwa matunguli " yaani sasa hivi unakuta mauza uza tu mara mixer inazima mara amplifaya bila sababu yoyote ila watashindwa tu kwa jina la Yesu." amesema manager huyo..
zaidi msikilize Gossip Cop hapo chini

No comments:

Post a Comment