Saturday, January 4, 2014

MKWASA, PONDAMALI WAANZA KAZI RASMI YANGA

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa akiwaongoza wachezaji wake katika mazoezi leo.
Yanga wakiendelea na mazoezi chini ya Mkwasa katika Uwanja wa Bora uliopo Mabatini-Kijitonyama jijini Dar leo.
Kocha wa makipa Juma Pondamali akitaniana na kipa wake Juma Kaseja.
KOCHA msaidizi wa Yanga aliyechukua mikoba ya Fredy Felix Minziro, Charles Boniface Mkwasa pamoja na kocha wa makipa Juma Pondamali leo wameanza rasmi kukinoa kikosi cha Jangwani katika Uwanja wa Bora uliopo Mabatini-Kijitonyama jijini Dar.

No comments:

Post a Comment