Saturday, January 4, 2014

USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-6

Kuna hoja nzito kimantiki katika mada hii. Uchambuzi na ufafanuzi wa kina, vilishajitosheleza lakini nikaona kuna maana kubwa katika kufundisha kwa mifano.
Msomaji wangu Lauryn ameamua kuiweka wazi stori yake, jinsi alivyotoka kimapenzi nje ya ndoa na kijana Paul ambaye alikuwa mpangaji mwenzake.
Alishaeleza mengi huko nyuma, lakini wiki iliyopita aliishia hapa: “Sisemi uongo, siku hiyo ndiyo nilikuwa napokea kwa mara ya kwanza kiss la nje ya ndoa, tangu nilipoolewa na mume wangu. Sijui kama alibahatisha au ni ufundi aliojaliwa, maana aliufyonza kitaalamu ule mdomo wangu wa chini, mpaka nikapatwa na mchecheto. Kama ingekuwa chumbani, pengine ningemsukuma na kuchojoa viwalo vyote ili tuikamilishe mechi.”
Endelea kusoma: “Nilishindwa kufanya hivyo kwa sababu pale tulikuwa sebuleni halafu mume wangu alikuwa chumbani, kwa hiyo hakuwa na kizuizi chochote cha kutoka na kutufumania. Uoga huo ndiyo ulionifanya niidhibiti mizimu yangu ambayo kwa hakika, ilikuwa inaninyevuanyevua ile mbaya.
“Kweli sikuchojoa nguo kama ambavyo nilipenda iwe kama tungekuwa chumbani lakini hata hivyo sikubaki nyuma. Nami niliushughulikia mdomo wake wa juu ambao awali nilikuwa naung’ata. Hapo haikuwa habari nyingine, tulikuwa
tunatenda kitu ambacho wengi huanza nacho kabla ya tendo lenyewe la faragha.
“Yaani tulikuwa tunapeana busu la ndani kabisa, wenzetu wanaita deep kiss, kamusi ya kisasa inalitafsiri tendo hilo kama denda. Kilikuwa kipindi kizuri sana kwa wakati huo, maana kama kujuta, nilifanya hivyo baadaye baada ya kunikuta makubwa yaliyofanya ndoa yangu iwe chungu. Hakika usaliti ni mbaya.
“Tukiwa tunaendelea na kiss, mara nikamuona Paul amepoa, nilipomuona akiwa katika hali hiyo, sikutaka ionekane yeye ndiye ameamua kusitisha mchezo, niliinuka pale kwenye sofa kama mtu aliyekurupuliwa, nilikwenda msalani kujiosha kisha nikaenda zangu chumbani kwangu kulala na mume wangu bila kumuaga Paul.
“Siku iliyofuata asubuhi sikukoma, nilimkuta amesimama mlangoni akiwa ameelekea nje, nilimfuata nikamgusa kwa nyuma, yaani kifua changu nilikiegemeza mgongoni mwake. Nilifanya hivyo nikijua lazima ataweza kuakisi joto langu na kupata msisimko fulani wa ndani.
“Ni kweli nilikuwa na joto kali, mimi mwenyewe nilikuwa nalisikilizia. Lile joto lilisababishwa na mambo mawili, kwanza ndiyo nilikuwa natoka kitandani, pili nilikuwa na siku nyingi sijakutana na mume wangu. Tunalala na kuamka utadhani mtu na dada yake.
“Hili pia ni kosa la mume wangu, alikuwa mvivu sana kwenye kipengele cha faragha. Bila kujisikia vibaya, aliweza kukaa hata miezi mitatu na hatujakutana. Haombi huduma wala nini, sijui alikuwa na maana gani kufanya hivyo. Hali hiyo ilinifanya niwe nakaa na ‘ganzi’ zangu kwa muda mrefu mpaka kuingiwa na mawazo mabaya.
“Ni mawazo mabaya ndiyo, fikiria mimi kumtamani mpangaji mwenzangu ambaye kiumri namzidi kama miaka sita. Mbaya zaidi hata kimaumbile mimi ni mnene wakati Paul ni mwembamba, kwa hiyo hata bila kutafuta umri, kila aliyetuona, alipata jawabu kuwa mimi ni mkubwa sana kwa Paul.
“Basi pale nilipomuegemea Paul, naye alipata msisimko, nilimuangalia vinyweleo vyake vilikuwa vimesimama. Baada ya kuona hivyo, nilimuwekea mapozi, nilimsalimia na kurudi chumbani kwangu. Huko nikaendelea kupanga na kupangua jinsi ya kumteka Paul. Nilimhitaji sana kwa wakati huo.
“Kama dakika 20 zilizofuata, Paul aliaga anakwenda kazini kwake saluni (kazi yake ni kinyozi, nilishasimulia huko nyuma). Nilitamani kumwambia asiende lakini nikajisikia aibu kusema hivyo. Nilimuitikia kwa sauti iliyokosa unyoofu. Nilikuwa katika kipindi kibaya sana cha matamanio.
“Mchana nilipika chakula, nikamtumia SMS Paul aje kula, akanijibu kazi ni nyingi saluni. Nilijisikia vibaya lakini usiku tulipata muda mwingine mzuri. Maana baada ya chakula cha jioni (dinner), mimi na Paul tulibaki sebuleni tukizungumza lile na hili. Alitaka kuanza ule mchezo wa kuzomea, sikumpa ushirikiano.
“Aligusisha paji lake la uso kwenye la kwangu, bado sikumpa ushirikiano wowote. Sikutaka michezo, nilitaka tufanye kweli. Ndiyo maana nilipoona analeta yale mazoea ya kuzomeana sikumpa ushirikiano. Naye alipoona simpi ushirikiano, ikabidi ajiongeze na kutimiza kile nilichotaka.
“Kwa kutumia kinywa chake, aliitumbukiza midomo yangu ndani yake, kwa hatua hiyo nilimpa ushirikiano wa kutosha. Tulibadilishana kila ambacho iliwezekana kupitia vinywa vyetu. Nilisikia burudani hasa ila niliendelea na tabia yangu ya kumtegea Paul ndiye atangulie mbele nifuate.
“Kwa maana hiyo nilitamani tusiishie kwenye kiss peke yake, nilitaka mikono yangu ifanye utalii kwenye maeneo yote muhimu ya Paul, vilevile na yeye apitishe mkono wake katika kona tofauti za mwili wangu. Nilitamani anishike maeneo mengi lakini sikuthubutu kumuomba afanye hivyo na nilijizuia kumshika popote.
“Hatimaye Paul alifika pale nilipopataka, aliuruhusu mkono wake wa kushoto kufanya utundu kwenye mwili wangu. Wakati huohuo midomo yote iliendelea kung’ang’aniana. Ulimi wangu ulikuwa ukigeuzwageuzwa kinywani kwa Paul. Ni mfyonzaji mzuri. Nilifurahia kila kitu.

No comments:

Post a Comment