Friday, September 13, 2013

H Baba na Flora Mvungi wapata mtoto wa kike wampa jina la Tanzanite

Msanii H Baba na mkewe Flora Mvungi wamefanikiwa kupata mtoto wa kike jana jioni majira ya saa 12:30 katika hospitali ya Maria Stope iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam.


Kama unakumbuka hapo awali H Baba alisema kama akifanikiwa kupata mtoto wa kike au kiume basi atampa jina 'Tanzanite' hatimaye amefanikiwa kupata wa kike na kumpatia jina la Tanzanite.

No comments:

Post a Comment