Sunday, September 22, 2013

AZAM FC WAIZIMA YANGA

Kipa wa Azam FC, Aishi Manula akiokoa hatari langoni mwake.
Azam FC wakishangilia ushindi wao dhidi ya Yanga leo.
Didier Kavumbagu akimtoka beki wa Azam, Erasto Nyoni (6).
Mashabiki wa Azam FC wakiishangilia timu yao.
Mashabiki wa Yanga.
Mwendesha mitambo wa Azam TV, Maulid Kidabu akiwa kazini.
Kikosi cha Azam FC.
Kikosi cha Yanga SC.
Azam FC leo wameizima Yanga SC baada ya kuilaza kwa mabao 3-2 kwenye mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Mabao ya Azam yamefungwa na John Bocco, Kipre Tchetche na Joseph Kimwaga wakati ya Yanga yakiwekwa kimiani na Didier Kavumbagu na Hamis Kiiza. Kwa matokeo haya, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Yanga SC wanaendelea kusuasua baada ya kutoka sare mbili kwenye mechi zao zilizopita mkoani Mbeya dhidi ya Mbeya City na Prison.
Kipa wa Azam FC, Aishi Manula akiokoa hatari langoni mwake.
Azam FC wakishangilia ushindi wao dhidi ya Yanga leo.
Didier Kavumbagu akimtoka beki wa Azam, Erasto Nyoni (6).
Mashabiki wa Azam FC wakiishangilia timu yao.
Mashabiki wa Yanga.
Mwendesha mitambo wa Azam TV, Maulid Kidabu akiwa kazini.
Kikosi cha Azam FC.
Kikosi cha Yanga SC.
Azam FC leo wameizima Yanga SC baada ya kuilaza kwa mabao 3-2 kwenye mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Mabao ya Azam yamefungwa na John Bocco, Kipre Tchetche na Joseph Kimwaga wakati ya Yanga yakiwekwa kimiani na Didier Kavumbagu na Hamis Kiiza. Kwa matokeo haya, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Yanga SC wanaendelea kusuasua baada ya kutoka sare mbili kwenye mechi zao zilizopita mkoani Mbeya dhidi ya Mbeya City na Prison.

No comments:

Post a Comment