Kwenye headlines Nigeria kwa wiki kadhaa sasa hivi kumekua na stori kwamba staa mdogo wa muziki nchini humo Ayo Balogun a.k.a Wizkid ameachana na lebo yake ya E.M.E na sasa anafanya ishu zake mwenyewe.
Stori zilizosambaa kuanzia feb 13 2013 ni kwamba Wizkid ameamua kuanzisha lebo yake mwenyewe inaitwa Star boy Entertainment ambapo studio yake itaachia single yake mpya ya ‘Azonto’ february 15 2013.
Msanii huyu ambae ni baba wa mtoto mmoja amekaririwa akisema lebo hiyo itahusika pia na kusimamia biashara zake nyingine kama Star boy clothing line, Star boy cap na Star boy shoes.
Stori zilizosambaa kuanzia feb 13 2013 ni kwamba Wizkid ameamua kuanzisha lebo yake mwenyewe inaitwa Star boy Entertainment ambapo studio yake itaachia single yake mpya ya ‘Azonto’ february 15 2013.
Msanii huyu ambae ni baba wa mtoto mmoja amekaririwa akisema lebo hiyo itahusika pia na kusimamia biashara zake nyingine kama Star boy clothing line, Star boy cap na Star boy shoes.
No comments:
Post a Comment