Friday, September 14, 2012

PRODUCER WA DANGER YA FID Q WAONGEA JUU YA TUHUMA KWA FID KUTOKA KIPINDI CHA KOMEDI

PRODUCER WA DANGER YA FID Q WAONGEA JUU YA TUHUMA KWA FID KUTOKA KIPINDI CHA KOMEDI


siku kadhaa tangu kipindi cha orijino komedi kumdiss Fid Q kwa kukopi na kipesti wimbo wa Danger, studio iliyotengeneza wimbo huo iliyoko Marekani (Chefaco Record) waongea kupitia ukurasa wa facebook.. na haya ndio waliyoyaandika
Chofacorecords II
14 hours ago
CHOFACO RECORDS OWNS FULL COPYRIGHT OF THE SONG DANGER BY FIDQ .PRODUCER BY CHOBARAY.
 NYIMBO ILIREKODIWA NOVEMBER,2008,JIULIZEE NYIMBO ILITOKA MWAKA GANI?MZIKI WA USA SIO SAWA NA MZIKI WA BONGO,KUNATOFAUTI KATI YA MIXTAPE SONGS AND ALBUM SONGS ALSO LEASED TRACKS,NON EXCLUSIVE TRACKS AND EXCLUSIVE TRACKS,KABLA ORIJINO KOMEDI.KUKURUPUKA NA KUONGEA/KUFANYA VIPINDI VYAO LAZIMA MJUE COPYRIGHTS ZA KAZI ZA WATU,HESHIMA NA BUSARA,KUULIZA NA KUELIMISHWA SI UJINGA
 Hiki ndio kipande cha kopi endi pesti cha orijino komedi wakimuua Fid Q


No comments:

Post a Comment