Saturday, September 29, 2012

DK. SHEIN AONGOZA HARAMBEE YA UCHANGIAJI WA WALEMAVU ZANZIBAR

DK. SHEIN AONGOZA HARAMBEE YA UCHANGIAJI WA WALEMAVU ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar Dk ali Mohamed Shein akitoa hotuba katika hafla ya kuchangia mfuko wa watu wenye ulemavu iliofanyika leo katika hoteli ya Zanzibar Beach Ressort.
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akitoa hotuba na maelezo kuhusu mfuko wa watu wenye ulemavu,katika hafla ya kuchangia mfuko huo iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.


Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akimkabidhi Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zahra Ali Hamad picha ya Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Aman Karume iliochorwa kwa Mkono na ambayo imeuzwa shiling 1,200,000 katika hafla ya kuchangia mfuko wa watu wenye ulemavu iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.

No comments:

Post a Comment