Kikosi cha timu ya Simba SC kilichoanza dhidi ya Polisi Moro na kuambulia sare ya bao 1-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kikosi cha timu ya Polisi Moro kilichoanza dhidi ya Simba SC.
Emmanuel Okwi akimtoka mchezaji wa Polisi Moro.
Hadi mapumziko, tayari Simba SC ilikuwa inaongoza kwa bao 1-0 lililofungwa na Mganda, Emmanuel Okwi dakika ya 32 akimalizia pasi fupi ya Mohammed Hussein ‘Tshabalala’
No comments:
Post a Comment