Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho
(kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina
Chuwa baada ya kupokea Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia
kwa data za sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014 Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Thursday, March 13, 2014
RAIS KIKWETE APOKEA RIPOTI YA MGAWANYIKO WA WATU KWA UMRI NA JINSI LEO IKULU, DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment