Monday, January 13, 2014

MIRROR, MASTAA BONGO MUVI WACHENGUA CLUB 71 TEGETA

Wema na Kajala wakishindana kunengua jukwaani.
Wema Sepetu akiimba na Mirror.
Mastaa wa Bongo Muvi, wakiwa jukwaani pamoja na msanii Mirror.
Jacqueline Wolper akikamua.
Msanii Mirror akimchombeza Wolper.
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia onyesho hilo.
Paparazi wa Global Publishers  Shakoor Jongo (mwenye fulana  nyekundu) akiwa katika picha ya pozi na Kalala Junior (kulia) na mashabiki waliohudhuria onyesho hilo.
UKUMBI wa Club 71 ulioko Tegeta, jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamikia leo ulirindima kwa show bab’kubwa ya msanii Mirror kutoka kampuni ya Endless Fame aliyesindikizwa na madiva katika Bongo Muvi kina Wema Sepetu, Kajala Masanja na Jacqueline Wolper.

No comments:

Post a Comment