Wednesday, January 1, 2014

BAADA YA KUKIMBIWA NA MPINZANI WAKE KALAPINA ATANGAZA KUZICHAPA NA KASEBA

BAADA YA KUKIMBIWA NA MPINZANI WAKE KALAPINA ATANGAZA KUZICHAPA NA KASEBA


Msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Kalapina akitangazwa kushinda kwenye mpambano wa ngumi usiku wa kuamkia leo,baada ya mpinzani wake Bahati Mwamfiale kutotokea ulingoni ndani ya Ukumbi wa Msasani Club,sasa aomba pambano na Japhet Kaseba na Mchumia Tumbo.
Kalapina akirudi kwenye chumba cha kubadilishia nguo huku akishangiliwa na wapambe wake.
Francis Miyeyusho (kulia), akipambana na Bondia kutoka nchini Kenya Joshua Omukulu, ambaye alimpiga kwenye mzunguko wa pili kwa KO na kudondoka chini.
Bondia Joshua Omukulu akiwa chini baada ya kupelekewa konde la ujazo na mpinzani wake
Kalama Nyilawila (kulia), akipambana na Ibrahim Maokola, ambapo Kalama aliibuka mshindi kwa KO Ndani ya Ukumbi wa Msasani Klabu.

No comments:

Post a Comment