BAADA YA KUKIMBIWA NA MPINZANI WAKE KALAPINA ATANGAZA KUZICHAPA NA KASEBA
Msanii
wa muziki wa Hip Hop Bongo, Kalapina akitangazwa kushinda kwenye
mpambano wa ngumi usiku wa kuamkia leo,baada ya mpinzani wake Bahati
Mwamfiale kutotokea ulingoni ndani ya Ukumbi wa Msasani Club,sasa aomba
pambano na Japhet Kaseba na Mchumia Tumbo.
No comments:
Post a Comment