RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuwavua vyeo vyao Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo na Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki aliyekuwa tayari ametangaza bungeni kujiuzulu. Taarifa hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, bungeni baada ya kueleza kuwa ameongea na Rais na kukubali kuwavua nyadhifa zao kutokana na ripoti ya Operesheni Tokomeza iliyosomwa leo bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli.
Saturday, December 21, 2013
RAIS KIKWETE AWAVUA VYEO MAWAZIRI WANNE
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuwavua vyeo vyao Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk David Mathayo na Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki aliyekuwa tayari ametangaza bungeni kujiuzulu. Taarifa hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, bungeni baada ya kueleza kuwa ameongea na Rais na kukubali kuwavua nyadhifa zao kutokana na ripoti ya Operesheni Tokomeza iliyosomwa leo bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment