Friday, October 25, 2013

KIBIBI CHA MIAKA 86 CHAFANYA MAZOEZI YA KUCHANA MSAMBA

KIBIBI CHA MIAKA 86 CHAFANYA MAZOEZI YA KUCHANA MSAMBA

Ouyun, akichana msamba.
…Akiwa ameunyoosha mguu wake juu sambamba na mlingoti.
TAO OUYUN, kibibi chenye umri wa miaka 86 kutoka China, Jimbo la Zhejiang, kimeendelea kuwashangaza watu kwa kufanya mazoezi ya kuchana msamba na mengine yanayoonekana ya ajabu kwa watu wa umri wake ikiwa ni pamoja na kuunyosha mguu wake juu sambamba na mlingoti.
Kibibi huyo anafanya hivyo akiendeleza mchezo au mazoezi yanayojulikana kama Tai Chi ambayo amekuwa akiyafanya kwa miaka 36 sasa baada ya kustaafu kufanya kazi katika kiwanda cha kusokota nyuzi.

No comments:

Post a Comment