Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akipokea maelezo kutoka kwa injinia wa BG Group.
Profesa Muhongo akisalimiana na CEO wa BG Group, Chris.
Profesa Muhongo akifuatilia maelezo ya ramani kutoka kwa msemaji wa kampuni ya BG.
Profesa Muhongo akiwa Control room ya kampuni ya BG Group.
Picha ya pamoja.
Urban Pulse Creative inakuletea picha za ziara ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo alipotembelea makao makuu ya kampuni ya BG inayofanya kazi ya uchimbaji wa gesi na mafuta ili kuangalia ufanisi wake na namna gani inavyoweza kutufaa Watanzania ikiwekeza nchini kwetu.
Urban Pulse Creative inakuletea picha za ziara ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo alipotembelea makao makuu ya kampuni ya BG inayofanya kazi ya uchimbaji wa gesi na mafuta ili kuangalia ufanisi wake na namna gani inavyoweza kutufaa Watanzania ikiwekeza nchini kwetu.
No comments:
Post a Comment