Friday, February 15, 2013

Ney wa mitego amepata ajali


Msanii wa muziki wa kizazi kimpya Ney wa mitego amepata 
ajali mbaya akiwa na gari lake aina ya Alteza akizungumza 
na teentz Ney alisema... 
"Ilikua saa tisa na nusu usiku nilikua natokea masaki 
kuwachukua washkajin zangu ndo nilikua narudi hom
e Lory la mchanga liliingia nyuma ya gari langu pale kwenye
 mataa ya Maisha Club kwenda moroco na kwa bahati
 mbaya
 jamaa akakimbia kwasababu nahisi alidhani ameoua maana
 gari alienda kuingia kwenye mtaro...
Nashukuru mungu mimi mzima ila mguu tu ndo umeshtuka
 kidogo"......…


No comments:

Post a Comment