Msanii wa muziki wa kizazi kimpya Ney wa mitego amepata
ajali mbaya akiwa na gari lake aina ya Alteza akizungumza
na teentz Ney alisema...
"Ilikua saa tisa na nusu usiku nilikua natokea masaki
kuwachukua washkajin zangu ndo nilikua narudi hom
e Lory la mchanga liliingia nyuma ya gari langu pale kwenye
mataa ya Maisha Club kwenda moroco na kwa bahati
mbaya
jamaa akakimbia kwasababu nahisi alidhani ameoua maana
gari alienda kuingia kwenye mtaro...
Nashukuru mungu mimi mzima ila mguu tu ndo umeshtuka
kidogo"......…
No comments:
Post a Comment