Monday, February 18, 2013

KICHEKESHO kutoka kwa Masanja Mkandamizaji


Jamaa mmoja alizamia semina ya wasomi iliyokuwa inafanyika Ubungo Plaza. Ukafika muda wa watu kujitambulisha. Wa kwanza akaanza: Naitwa John, niko UDOM mwaka wa pili nasoma Sheria. Wa pili: Naitwa Stella, niko UDSM mwaka wa tatu nasoma Public Relations. Jamaa wa tatu mzamiaji akisuasua sana huku akijishtukia: Naitwa Paulo, niko TANESCO mwaka wa tisa nasoma Mita.
Like ·  ·  · 23 minutes ago · 

No comments:

Post a Comment