KICHEKESHO kutoka kwa Masanja Mkandamizaji
Jamaa mmoja alizamia semina ya wasomi iliyokuwa inafanyika Ubungo Plaza. Ukafika muda wa watu kujitambulisha. Wa kwanza akaanza: Naitwa John, niko UDOM mwaka wa pili nasoma Sheria. Wa pili: Naitwa Stella, niko UDSM mwaka wa tatu nasoma Public Relations. Jamaa wa tatu mzamiaji akisuasua sana huku akijishtukia: Naitwa Paulo, niko TANESCO mwaka wa tisa nasoma Mita.
No comments:
Post a Comment