CHRIS BROWN KUPIGA SHOW KWENYE TUZO ZA KORA MWAKA HUU
Msanii mahiri kutoka marekani almaarufu kama Chris Brown baada ya kutamba na
ngoma zake kadhaa hapa Africa kama Don't judge me,Strip,Yeah 3x. Sasa
latest info nilizozipata baada ya kukuta hii picha katika mitandano na
kusema kwamba inawezekana Chris brown akapiga show nchini Ivory
Coast katika tuzo za kora baada ya kupiga picha na Ernest Adjovi
ambaye ni mratibu wa tuzo KORA.
No comments:
Post a Comment